Availability: Out of Stock

SHAMBULIZI LA AKINA SHIDA

Author: Muthoni Muchemi
SKU: 9789966001603

Kshs 500.00

Katika mji mmoja ulioko kaskazini mwa jangwa, watu wa jamii tatu wanategemea maji kutoka kisima kimoja. Mara, maji yanaanza kupotea kisimani kila usiku. Jamii zote tatu zinanyoosheana vidole vya lawama kwa sababu ya tukio hili na ugomvi unazuka kati yao. Tosha, Shana na Pato wanagundua kuwa wako na nguvu za kipekee. Ni wao tu katika jamii nzima ndio wanaotambua kuwa viumbe wanaoiba maji ni wageni kutoka sayari kame iliyoko mbali na dunia. Lakini hakuna anayeamini maneno yao. Je, wanaweza kuwakomesha viumbe hawa kunyonya maji yote kisimani na kusababisha vita?

 

ISBN : 9789966001603

Published : N/A

Author : Muthoni Muchemi

Language : Swahili

Main Material : Paperback

Publisher : Storymoja Africa

Size :

Weight : N/A

Out of stock