Availability: In Stock

PESA ZA SUKI

SKU: 9789966347961

Kshs 260.00

Suki ni mwanafunzi wa darasa la sita. Alikuwa akijiwekea akiba ili anue kitabu cha picha za wanyamapori wakati wa likizo. Kabla ya siku ya kwenda kununua kitabu fika, tukio la ajabu linatokea. Mwizi anaingia nyumbani kwa kina Suki na kuiba kisanduku cha Suki cha kuhifadhia pesa na vitu vingine. Askari polisi wanaarifiwa kuhusu wizi huo, lakini hawafanikiwi kumkamata mwizi. Suki anaamua kufanya upelelezi ili ajue ni nani aliyeiba kisanduku chake. Je, atafanikiwa?

ISBN : 9789966347961

Published : N/A

Author : Timothy Omusikoyo

Language : Swahili

Main Material : Paperback

Publisher : Moran (E.A.) Publishers Limited

Size :

Weight : N/A

13 in stock