Availability: In Stock

SAFARI YA SUNGURA

SKU: 9789966631176

Kshs 192.00

Panda Ngazi ni mfululizo wa vitabu vya kusoma vilivyoandikwa ili kutosheleza mahitaji ya wasomaji walio na uwezo wa kusoma unaotofautiana. Vitabu hivi havizingatii gredi ila kiwango cha uwezo wa kusoma. Vimepangwa kutoka vitabu rahisi vya kusomwa na watoto wanaoanza kusoma hadi vile vyenye ugumu kiasi vya kusomwa na watoto wenye uwezo ulioimarika wa kusoma.

 

Mfululizo huu una viwango kama vile mwimbuko, mwanzo, mpito na kati.

 

ISBN : 9789966631176

Published : N/A

Author : Timothy Omusikoyo

Language : Swahili

Main Material : Paperback

Publisher : Moran (E.A.) Publishers Limited

Size :

Weight : N/A

1 in stock