Availability: In Stock

LONGHORN MWANGA WA KISWAHILI GREDI 4

SKU: 9789966642905

Kshs 496.00

Longhorn Mwanga wa Kiswahili Gredi ya 4 (Kitabu cha Mwanafunzi) ni kitabu kilichoandikwa kwa ustadi na umahiri mkubwa. Kimeandikwa kwa lugha nyepesi ya kiwango cha mwanafunzi wa gredi ya nne. Kitabu hiki kinatosheleza kikamilifu mahitaji ya mtaala mpya wa umilisi pamoja na malengo ya elimu ya taifa la Kenya. Kimeshughulikia wanafunzi wote wakiwemo walio na mahitaji maalum pamoja na wanaoishi kwenye mazingira mbalimbali.

 

ISBN : 9789966642905

Published : N/A

Language : Swahili

Main Material : Paperback

Publisher : Longhorn Publishers

Size :

Weight : N/A

107 in stock