Availability: In Stock

AH! AJIZI

Author: Tom Nyambeka
SKU: 9789966066190

Kshs 450.00

Ah! Ajizi ni hadithi ya kuvutia inayohusu vijana wawili, Ajizi anajiingiza katika maisha ya kutotii wazazi na walimu. Hatimaye, anatumia dawa za kulevya zinazomfanya kuwa kichaa na kuugua kisha baadaye kuaga dunia. Juhudi kwa upande wake ni mwenye heshima na anafanikiwa maishani.

 

ISBN : 9789966066190

Published : N/A

Author : Tom Nyambeka

Language : Swahili

Main Material : Paperback

Publisher : Storymoja Africa

Size :

Weight : N/A

20 in stock