Availability: In Stock

KUKU ANAANDIKA

SKU: 9789966631145

Kshs 170.00

Vitabu hivi ni mfululizo wa vitabu vya kusoma vilivyoandikwa ili kutosheleza mahitaji ya wasomaji walio na uwezo wa kusoma unaotofautiana. Vitabu hivi havizingatii gredi ila kiwango cha uwezo wa kusoma. Vimepangwa kutoka vitabu rahisi vya kusomwa na watoto wanaoanza kusoma hadi vile vyenye ugumu kiasi vya kusomwa na watoto wenye uwezo ulioimarika wa kusoma.

 

 

ISBN : 9789966631145

Published : N/A

Author : Timothy Omusikoyo

Language : Swahili

Main Material : Paperback

Publisher : Moran (E.A.) Publishers Limited

Size :

Weight : 100g

47 in stock