Availability: In Stock

MAAJABU

Author: Muthoni Muchemi
SKU: 9789966066435

Kshs 400.00

Watoto huvutiwa zaidi na hadithi za kustaajabisha hasa za kubuni. Akili zao changa huamini wanayosimuliwa bila kudadisi, hali inayowafanya kufuatilia hadithi kwa makini. Katika kitabu hiki, mwandishi amelenga matukio yasiyo ya kawaida ambayo, bila shaka, yatawachekesha wasomaji. Mbali na kuwaburudisha, hadithi hii itawafundisha watoto msamiati wa wanyama, majina ya vyumba tofauti katika nyumba pamoja na kazi zinazofanywa nyumbani.

 
 

 

ISBN : 9789966066435

Published : N/A

Author : Muthoni Muchemi

Language : Swahili

Main Material : Paperback

Publisher : Storymoja Africa

Size :

Weight : N/A

7 in stock