Availability: In Stock

NYUNGUNYUNGU NA KONOKONO… UTAMU ULIOJE!

Author: Millie Dok
SKU: 9789966001771

Kshs 420.00

Aoko and Ooko ni wanakunguru wawili wanaopenda vyakula anavyowaletea mama yao. Vyakula hivi ni minyoo, konokono wenye kamasi na mbuu wanaonuka. Lakini wakila chakula kingi, watajifunza kuruka? Hadithi hii ya kusisimua imeandikwa kwa ukarara ili usomaji uwe wa kuvutia zaidi.

 
 

 

ISBN : 9789966001771

Published : N/A

Author : Millie Dok

Language : Swahili

Main Material : Paperback

Publisher : Storymoja Africa

Size :

Weight : N/A

3 in stock