Availability: In Stock

STADI ZA KISWAHILI GREDI YA 5

Author: Kibandi
SKU: 9789966632937

Kshs 592.00

Stadi za Kiswahili ni mfululizo wa vitabu vya kiada vya Kiswahili vilivyoandaliwa kwa kufuata Mtaala wa Umilisi. Kitabu hiki kina sifa kuu zifuatazo: 

• Kimeandikwa kwa Kiswahili cha kiwango cha mwanafunzi wa Gredi ya 5. 
• Maswali dadisi yametumiwa kutanguliza dhana zilizomo. 
• Kimejumuisha shughuli za mwanafunzi binafsi, shughuli za wanafunzi wawiliwawili na za makundi ya wanafunzi. 
• Kimeshughulikia masuala makuu yote kwa mujibu wa ruwaza ya Kiswahili cha Gredi ya 5
• Kimejumuisha mada kuu na mada ndogo zote. 
• Yaliyomo yamepangwa kulingana na ruwaza ya Kiswahili cha Gredi ya 5. 
• Yaliyomo yamewasilishwa kwa ubunifu wa kiwango cha juu. 
• Kimeshughulikia matokea maalum yanayotarajiwa katika Gredi ya 5. 
• Kimejumuisha umilisi wa kimsingi kwa mujibu wa Mtaala wa Umilisi. 
• Kimeshughulikia masuala mtambuko yote. 
• Yaliyomo yanakuza maadili yanayopendekezwa katika Mtaala wa Umilisi. 
• Shughuli za ujifunzaji zinakuza stadi za kusikiliza na kuzungumza, kusoma na kuandika 
• Michoro na picha za rangi zinachangia yaliyomo kueleweka kwa urahisi. 
• Maandishi makubwa na ya rangi mbalimbali yanasomeka kwa urahisi. 

Haya na mengine mengi yanadhamiriwa kumwezesha mwanafunzi wa Gredi ya 5 kuwasiliana kwa Kiswahili sanifu katika mazingira mbalimbali.

ISBN : 9789966632937

Published : N/A

Author : Kibandi

Language : Swahili

Publisher : Moran (E.A.) Publishers Limited

Size :

Weight : N/A

60 in stock